Harmonize ex, Wolper gets engaged.

0
512
Wolper
Wolper

Jacqueline Wolper ex-girlfriend to singer Harmonize is off the market. The fashionista and businesswoman has been engaged by one Chidy .

Chidy a Kenyan designer popped in at her work place, went on one knee and proposed to the beauty.

To celebrate the major event in her life, she captioned a celebratory message on Instagram as below;

Namshukuru Mungu kwa kila kitu na yeye ndio muweza wa yote…Mungu aliepanga ndo anajua kila kitu kuhusu hili na atasimamia haya na kila kitu kitaenda kwa mipango yake,nachoma mambo yangu yote ya zamani na kuanza mwanzo mpya na Mungu akanitengeneze kuwa mke alivyopanga yeye na akatutengeneze mimi na mchumba wangu tukawe anavyopenda yeye na sio mimi wala watu.
.
.
.Mungu awabariki wazazi wetu pia na wa mume wangu mtarajiwa na walezi wetu tunawashukuru kwa malezi na upendo wao wenu MUNGU AWABARIKI .
.
.
.Napenda kumshukuru mme wangu mtarajiwa kwa upendo wote na kunichagua mimi niwe mwenzi wake na kuanza ukurasa mpya wa maisha yetu..NAKUPENDA NA KUKUHESHIMU 🙏🏿 @chidy_designs @chidy_designs .
Nawashukuru wote mlionipongeza na kuwa karibu na mimi Mungu awabariki sana.

Wolper
Wolper

Download our app from play store and get updates everyday for FREE. Press the button below.

What do you think of this post?
  • Awesome (0)
  • Interesting (0)
  • OMG (0)
  • Boring (0)
  • Woooi!! (0)
  • SAD (0)